Doa - Kithaka Wa Mberia - 图书 - Marimba Publications - 9789966794420 - 2018年9月7日
如封面与标题不符,以标题为准

Doa

价格
元 197
不含税

远程仓调货

预计送达时间 年7月13日 - 年7月29日
添加至iMusic心愿单

Not rated yet

Profesa Kithaka wa Mberia anafundisha na kufanya utafiti katika Idara ya Isimu na Lugha, Chuo Kikuu cha Nairobi, Nairobi, Kenya. Mbali na kufundisha na kufanya utafiti, anajishughulisha na uandishi wa mashairi na tamthilia. Tamthilia yake maarufu iitwayo Kifo Kisimani ilikuwa kitabu cha lazima katika mtihani wa kidato cha nne nchini Kenya kuanzia 2006 hadi 2012. Tamthilia yake nyingine iitwayo Natala ilikuwa kitabu cha kutahiniwa katika vyuo vya walimu, pia nchini Kenya, kuanzia 2005 hadi 2016. Mwandishi amewahi kukariri mashairi yake katika maeneo kadhaa ikiwa ni pamoja na Kenya, Tanzania, Iran, Marekani, US Virgin Islands, United Arab Emirates, Upolanzi, Ujerumani na Italia.

Mbali na Doa, Kifo Kisimani na Natala, Profesa Kithaka wa Mberia amechapisha vitabu vingine ambavyo ni Mchezo wa Karata (mashairi), Bara Jingine (mashairi), Redio na Mwezi (mashairi), Msimu wa Tisa (mashairi), Rangi ya Anga (mashairi) na Maua Kwenye Jua la Asubuhi (tamthilia). Diwani nyingine zake mbili za mashairi, Mvumo wa Helikopta na Bustani ya Miungu (huenda vichwa hivi vikabadilkika), zinatarajiwa kuchapishwa mwaka

huu na mwaka ujao mtawalia.

介质类型 图书     Paperback Book   (平装胶订图书)
已发行 2018年9月7日
ISBN13 9789966794420
出版商 Marimba Publications
页数 130
商品尺寸 127 × 178 × 8 mm   ·   108 g
语言 Swahili  

Kithaka Wa Mberia的更多作品

显示全部

Mere med samme udgiver